Saturday, February 28, 2009

Becks Staying at Clooney’s Italy Digs

Apparently the Hollywood hunk and the soccer ace were introduced by Giorgio Armani at last year's Met Ball in New York City. Since moving on loan to AC Milan, Beckham has become closer to Clooney, and the former Sexiest Man Alive has lent the footballer his Lake Como estate to help him unwind. Right, the stress of it all. I don't imagine being David Beckham is that sodding difficult.

Thursday, February 26, 2009

Taifa Stars yawapa raha Watanzania yawaondoa wenyeji Ivory Coast

Mrisho Ngasa ndiye aliyepachika bao la ushindi baada kupokea mpira kutoka kwa Henry Joseph.

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imefufua matumaini ya kuingia nusu fainali ya Fainali za Afrika kwa wachezaji wa Ligi za Ndani, CHAN baada ya kuifunga Ivory Coast bao 1-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Felix Houphouet Boigny, mjini Abidjan jana.

Matokeo hayo yamewaondosha kabisa wenyeji katika michuano hiyo, sasa watacheza na Senegal Jumamosi, mchezo wa kukamilisha ratiba katika mchezo wa kwanza walifungwa mabao 3-0 na Zambia.

Stars bado iko katika nafasi ya tatu ikiwa na pointi tatu wakati Zambia inaongoza ikiwa na pointi nne sawa na Senegal lakini Zambia ina mabao mengi. Wenyeji wanashika mkia kwa kutokuwa na pointi.

Ili kusonga mbele, Stars inahitaji ushindi dhidi ya Zambia Jumamosi huku ikiombea Ivory Coast kumfunga Senegal ili kujihakikishia nafasi nzuri zaidi.

Ukiacha hayo, katika mchezo wa jana, wenyeji walianza kwa kasi na kuanza kushambulia mfululizo lango la wapinzani wao, lakini hata hivyo, ngome ya Stars chini ya Shadrack Nsajigwa, Salum Swed, Juma Jabu na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ walisimama imara kupunguza kasi ya mashambulizi.

Kasi ya wenyeji iliwachanganya mara kwa mara Stars hata kuruhusu kona 17, nane zikipigwa kipindi cha kwanza huku wenyewe wakiambulia nne kipindi cha pili na kipindi cha kwanza hawakupata kona.

Kiujumla Ivory Coast walifanya mashambulizi mengi wakiongozwa na Junior Mango, Sanny Karamoko na Silvestre Nene lakini hata hivyo hayakuwa na madhara kutokana na ukuta imara wa Tanzania.

Stars ambayo ilichapwa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza na Senegal, walionyesha kubadilika lakini pengine ni kutokana na kubadilisha kikosi kwa kumuanzisha Mussa Hassan Mgosi na Kigi Makassi.

Kocha wa timu hiyo, Marcio Maximo alimtema kikosini Haruna Moshi ‘Boban’ pamoja na Athumani Idd ‘Chuji’ ambao hata hivyo, Mwananchi ilifuatilia na kugundua kuwapo na ‘bifu’ la chini kwa chini kati ya Boban na Maximo wakati Chuji alijitonesha mazoezini.

Wachezaji hao wote walikuwa jukwaani na hawakuwa hata katika benchi la ufundi.

Watanzania walishangilia kwa nguvu katika dakika ya 38 wakati Mrisho Ngassa alipopachika bao kwa kichwa baada ya kupata pande la mbali la Henry Joseph kutoka katikati ya uwanja.

Stars iliyokuwa ikishambulia kwa kushtukiza, waliliandama lango la wapinzani wao kipindi cha kwanza huku Mussa Hassan Mgosi, Ngassa wakiwatesa wenyeji kwa kuunganishwa na Henry Joseph, Kigi Makasi na Nizar Khalfan.

Hata hivyo, Henry na Nizar walionekana kupwaya kwa vipindi hata kupoteza mipira mfululizo. Kipindi cha pili, Maximo alifanya mabadiliko kadhaa, aliwatoa Henry Joseph, Mussa Hassan Mgosi na Mrisho Ngassa na nafasi zao kuchukuliwa na Mwinyi Kazimoto, Shaaban Nditi na Jerry Tegete lakini hata hivyo sura ya mchezo haikubadilika.

Stars iliwakilishwa na Juma Dihile, Shadrack Nsajigwa, Juma Jabu, Said Sued, Nadir Haroub, Nurdin Bakari, Henry Joseph/Shaaban Nditi, Nizar Khalfan, Mussa Hassan Mgosi/Mwinyi Kazimoto, Mrisho Ngassa/Jerry Tegete na Kigi Makassi.

Katika mchezo mwingine, Zambia na Senegal zilitoka suluhu katika mchezo uliokuwa na ushindani.


Source: Mwananchi

Wanajeshi wa Rwanda waondoka DRC


Maelfu ya wanajeshi wa Rwanda wameanza kuondoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kurudi nyumbani, wiki tano baada ya kuingia nchini humo kupambana na waasi wa Ki-hutu.

Kumekuwa na sherehe ya kuwapa mkono wa kwaheri huko Gomba, ambao ndio mji mkubwa zaidi mashariki mwa nchi.

Waziri wa mashauri ya nje wa Rwanda, alielezea kwamba oparesheni hiyo ya pamoja iliweza "kuwafanya hafifu kabisa" waasi wa FDLR.

Lakini msemaji wa BBC alisema vifo vingi vilitokea kwa upande wa raia.

Kuwepo kwa waasi hao katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo ni kutokana na miaka mingi ya mzozo katika eneo hilo la Afrika.

Baadhi ya viongozi wa FDLR wanalaumiwa kuhusika katika mauaji ya watu wengi mwaka 1994, kabla ya kukimbilia Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

Rwanda mara mbili imeshawahi kuishambulia nchi hiyo jirani, ikielezea kwamba inawajibika kuwachukulia hatua wapiganaji hao, ambao wengi ni kutoka kabila la Hutu.

Mwezi Januari, nchi hizo mbili zilikubaliana kuchukua hatua za pamoja dhidi ya FDLR.

Wanajeshi wa Rwanda pia walimkamata kiongozi wa waasi, Laurent Nkunda, ambaye ni Mtutsi, ambaye anafikiriwa na viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kuwa ni adui mkubwa.

Malori ya kijeshi pamoja, na vile vile wanajeshi 1,500 waliokuwa wakitembea kwa miguu waliweza kuvuka mpaka kufikia saa tisa za Afrika Mashariki.

Zaidi ya wanajeshi 3,000 wa Rwanda waliingia Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo mwezi Januari.

Viongozi wa Rwanda wanasema wanajeshi wote watakuwa wameondoka kufikia mwisho wa wiki hii.



Source: BBC

Tuesday, February 24, 2009

Monday, February 23, 2009

British Oscar triumph: Slumdog Millionaire sweeps the board with EIGHT Oscars as Kate Winslet wins Best Actress gong

It was a triumphant night for British film as heavily tipped Kate Winslet took the best actress Oscar for her role in The Reader, while Slumdog Millionaire swept the board with EIGHT awards this morning.

Dressed in a gunmetal grey one-shoulder gown, Reading-born Kate, 33, managed to hold back the tears as she accepted her award from a group of past winners including Nicole Kidman and Sophia Loren.

In her acceptance speech, a composed Kate thanked director husband Sam Mendes, 43, and children Mia, 8, and Joe, 5, for loving her just the way she is.

'You just don't think that these dreams that seem so silly and so impossible could ever really come true', she said backstage at the Kodak Theatre in Los Angeles.

Another Brit winner, Danny Boyle, who took the best director Oscar for Slumdog Millionaire, winner of the best picture, said: 'It's a triumph for a little film that became a big one'.

Kate Winslet

Finally! A triumphant Kate Winslet thanked her family as she won the best actress Oscar for The Reader at the 81st Academy Awards in LA

Kate Winslet Sam Mendes

Winner's joy: The actress embraces her director husband Sam Mendes after winning her Academy Award

Other British wins on the night included The Duchess, starring Keira Knightley, which won an Oscar for best costume design.

Kate Winslet Sam Mendes
Winslet with director husband Sam Mendes

And British director James Marsh and producer Simon Chinn won the Oscar for best documentary for the acclaimed film Man On Wire.
Prime Minister Gordon Brown hailed it as a 'great night' for Britain in Hollywood.

'I would like to congratulate Danny Boyle and all those who worked on Slumdog Millionaire on winning an incredible eight Academy Awards,' he said.

'I was lucky enough to see the film myself and understand how it has captured the imagination of people all over the world. Its success is truly well-deserved.'

Kate pulled off the expected Sunday night win for her quietly powerful performance in The Reader directed by Billy Elliot helmer Stephen Daldry.

In an unconventional moment, she shouted out to her father Roger and asked him to whistle so she knew where he was. He whistled back from his seat at the Kodak Theatre, waving when he responded.

The five-time nominee said: 'I'd be lying if I haven't made a version of this speech before.

'I think I was probably eight years old and staring into the bathroom mirror and this (Oscar) would be a shampoo bottle. But it's not a shampoo bottle now.

'I feel like an unlikely hero,' she said, 'I was not the privileged kid things like this could happen to.

'My mum won a pickled onion competition in the local pub just before Christmas and the Reading Evening Post sent me a picture of her holding her jar.

'Well, Reading Evening Post, here's your next Winslet picture!'.


kate winslet

Kate, centre, is congratulated by Sophia Loren, left, Nicole Kidman, Shirley MacLaine and last year's winner Marion Cotillard

Kate Winslet

Hollywood glamour: Kate wore a one-shouldered gunmetal grey gown, and an old-fashioned swept-back hairstyle for the ceremony

Slumdog Millionaire
Slumdog Millionaire director Danny Boyle hugs Rubiana Ali, who portrayed young Latika backstage

Later she told Sky News she planned to celebrate by 'getting massively drunk'.

It proved sixth time lucky for Kate who was first nominated in 1996 for supporting actress in Sense And Sensibility, then in the leading category two years later for Titanic, and best supporting actress again for Iris in 2002.

Best actress nods followed again in 2005 for Eternal Sunshine Of The Spotless Mind and Little Children in 2007.

Another Oscar loss would have tied Kate with Deborah Kerr and Thelma Ritter as the only actresses to be nominated six times and leave empty-handed.

Meanwhile, British-backed film Slumdog Millionaire was the triumph of the night, winning Academy Awards for best picture, best director for Danny Boyle, best adapted screenplay, best cinematography, best sound mixing, best film editing, best score and best song.

Director Steven Spielberg presented the best picture prize to Slumdog's producer Christian Colson, who called to the stage all the Slumdog children.

Crowded on stage were Dev Patel and Freida Pinto, who played the film's young lovers Jamal and Latika.

With them were the younger versions of their characters: Rubiana Ali (youngest Latika), Azharuddin Mohammed Ismail (youngest Salim), Madhur Mittal (oldest Salim), Ashutosh Lobo Gajiwala (middle Salim), Tanvi Ganesh Lonkar (middle Latika), Tanay Cheda (middle Jamal) and Ayush Mahesh Khedekar (youngest Jamal).



Producer Christian Colson is joined by the cast and crew of Slumdog Millionaire after the film won the Oscar for best picture

Producer Christian Colson is joined by the cast and crew of Slumdog Millionaire onstage after the film is named Best Picture

Triumphant: Director Boyle celebrates with his young stars Dev Patel (Salim) and Azharuddin Mohammed Ismail (youngest Salim)


Later the starstruck youngsters attended the Oscar Governors Ball before heading to the Slumdog Oscar party on Sunset Boulevard.

But Slumdog almost never happened as the film was headed straight to DVD for release after its US distributors were shut down.


Slumdog Millionaire director Danny

Boyle, left, poses with Rubiana as they arrive at the Governors Ball following the 81st Academy Awards

Art mirrored life for the rags-to-riches tale which almost became a victim of the financial climate when Time Warner Inc. announced it would shut down Warner Independent, which had bought its North American distribution rights.

Freida Pinto and Rubiana Ali


Freida Pinto with co-star Rubiana Ali whose mother watched her on television in the slums of Mumbai


But company Fox Searchlight stepped in to distribute it, eventually showing it in 1,600 theatres in the US.

The film, which cost just $10million (£7million) to make, is now set to cross the $100million (£68million) mark.

Winning an Oscar marks the high point in a directorial career that has seen Danny Boyle go from low-budget British movies to films of international acclaim.

It comes 14 years after he made his debut on the big screen with Shallow Grave.

On the way he has made some of the UK's most memorable films including Trainspotting and 28 Days Later.

Accepting the Oscar for best director, Boyle, 52, jumped up and down excitedly in front of Hollywood's finest. He explained that it was to honour a pledge he made to his children.

'I swore to them that if this miracle would ever happen, I would receive it in the spirit of Tigger from Winnie the Pooh,' he said.

The mother of one of the Slumdog child actors celebrated the film's eight Oscars from her home in an Indian shantytown, where relatives and neighbours had gathered to watch the awards ceremony on television.

'I'm so happy that my daughter has won this award and I could see her on stage with such big stars,' said Muni Qureshi, mother of Rubiana Ali, 8.


slumdog millionaire

Neighbours of actor Azharuddin Mohammed Ismail (Jamal) watch the Academy Awards near his home, in a slum in Bandra, Mumbai, India

Ali, along with other child actors in the film, was flown to Los Angeles for the awards ceremony and she appeared on stage after the film's best motion picture award was announced.

The film has generated controversy in India, where some people find its name, and depiction of poverty, insulting.

But Qureshi, who lives with her daughter and the rest of the family in a ramshackle home with no running water in Mumbai's Garib Nagar slum, defended the film.

'I know that this film has been criticised for showcasing poverty. But it has also meant that a girl from the slums of Mumbai who could not even imagine that she would go abroad has reached the Oscars, so how can that be bad?' she said.

In a moving moment the late Heath Ledger's father Kim accepted his son's Oscar flanked by Heath's mother Sally Bell and sister Kate

In a moving moment the late Heath Ledger's father Kim accepted his son's Oscar flanked by Heath's mother Sally Bell and sister Kate

Ledger has become only the second performer to be awarded an Oscar posthumously

Despite its troubled start, the uplifting story about a downtrodden boy and girl falling in love through tough times turned out to be exactly what audiences wanted to see.

The first award of the night went to Spanish actress Penelope Cruz, who won her first Oscar for best supporting actress for her performance as tempestuous artist Maria Elena in Woody Allen's romantic comedy Vicky Cristina Barcelona.

'Has anybody ever fainted here?" she asked as she collected her Oscar. "I think I might be the first one.'

The late Heath Ledger's performance as The Joker in The Dark Knight won him the best supporting actor Oscar, which was accepted by his parents and sister.

Ledger has become the second performer to be awarded an Oscar posthumously.

Peter Finch, who was named best actor for Network in 1976, was the only other posthumous winner of an acting Oscar.

Father Kim, who accepted the award on behalf of Ledger's daughter Matilda said: 'This award would have humbly validated Heath's quiet determination to be accepted by you all here - his peers within an industry he loved.'

Ben Stiller and Natalie Portman

Comedian Ben Stiller dons a beard to play Joaquin Phoenix, left, as he and actress Natalie Portman present an award

Sean Penn was a surprise winner for best actor in Milk, beating highly touted Mickey Rourke in comeback film The Wrestler.

But there was disappointment for Brad Pitt's The Curious Case Of Benjamin Button. The actor lost out on the best actor award and it collected just two Oscars for best make-up and art direction.

The show was presented by Australia actor Hugh Jackman, who took part in a stunning dance routine with singer Beyonce.


Disappointment: Mickey Rourke and Brad Pitt - seen here with partner Angelina Jolie - both missed out on a best actor award and Pitt's film The Curious Case Of Benjamin Button won only two of the 13 awards it was nominated for
Hugh Jackman

Host with the most: Actor Hugh Jackman did a dazzling turn as the unusual pick for the job of Oscar host

Jackman performs with Beyonce in a show-stopping musical routine

Oscar host Hugh Jackman and Beyonce Zac Efron and Vanessa Hudgens and Dominic Cooper and Amanda Seyfried

Razzle dazzle them: Oscar host Hugh Jackman and Beyonce , High School Musical's Zac Efron and Vanessa Hudgens and Mama Mia's Dominic Cooper and Amanda Seyfried pair up to perform a big musical number

panel



Source: Daily Mail Uk.

Kambi ya AU yashambuliwa Mogadishu

Burundi na Uganda ndizo pekee zina wanajeshi Mogadishu


Waasi nchini Somalia wameshambulia kambi ya jeshi la kulinda amani la Umoja wa Afrika mjini Mogadishu.

Kundi la wanamgambo wa kiislamu la al-Shabab limesema kuwa wafuasi wake wawili walifanya shambulio la kujitolea muhanga kwa kutumia gari.

Jeshi la AU limesema linafanya uchunguzi kuhusu shambulio hilo lakini halikutoa idadi ya wanajeshi waliojeruhiwa au kuuawa.
Msemaji wa wanajeshi kutoka Burundi, ambayo inachangia walinda amani katika jeshi hilo amesema wanajeshi wao sita waliuawa katika tukio hilo, shirika la habari la AFP limearifu.

Jumla ya wanajeshi 3,500 wa kulinda amani kutoka Burundi na Uganda ndiyo pekee wa kigeni walioko Mogadishu tangu mwezi Januari wakati majeshi ya Ethiopia yaliyokuwa yakiiunga mkono serikali yalipoondoka.

Makubaliano ya amani yaliyosimamiwa na Umoja wa Mataifa kati ya serikali ya mpito ya Somalia na kundi la upinzani lenye msimamo wa kadri, yalitoa fursa kwa Sheikh Sharif Sheikh Ahmed kuchaguliwa kuwa rais mpya mwezi Januari, lakini kundi la al-Shabab limeapa kuendeleza mapambano ya silaha dhidi ya wanajeshi wa kulinda amani.



Source: BBC

Stars Yalala, Zambia Yaua

Mchezaji wa Senegal, Mamadou Traore (kushoto) akigombea mpira na kiungo wa Tanzania, Geoffrey Bonny Namwandu (kulia) katika mchezo wa Kombe la CHAN uliochezwa uwanja wa Felix Houphouet-Boigny mjini Abidjan, Ivory Coast. Stars ilala 1-0.


TANZANIA kwa mara nyingine imeanza vibaya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN, baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Senegal, huku jirani zao Zambia wakitoa onyo kwa timu nyingine kwa kuwafunga wenyeji wa michuano hiyo ya CHAN, Ivory Coast kwa mabao 3-0.



Taifa Stars iliyoanza mchezo huo vibaya kwa safu ya ulinzi kushindwa kuelewana vizuri na kuacha mipira ya juu kutawaliwa na washambuliaji wa Senegal waliokuwa makini zaidi kutumia mwanya huo.



Mshambuliaji Mamadou Traore aliunganisha vizuri krosi kwa kichwa kilichomshinda kipa Shabaan Dihile katika dakika ya 29 na kuipa Ivory Coast bao pekee.



Kuingia kwa bao hilo kulirudisha hali Stars kujaribu kufanya mashambulizi mengi kupitia kwa winga wake Mrisho Ngassa aliyekuwa chini ya ulinzi mkali wa ngome ya Senegal.



Kocha Marcio Maximo alijaribu kuwatoa Godfrey Bonny, Haruna Moshi na Jerry Tegete walioshindwa kuonyesha kiwango cha kuvutia na nafasi zao kuchuliwa na Nurdin Bakari, Musa Hassan Mgosi na Abdi Kassim.



Kuingia kwa wachezaji hao Taifa Stars ilichangamka na kufanya mashumbulizi mengi katika kipindi cha pili, lakini walishindwa kumalizia nafasi nyingi walizotengeneza.



Katika mchezo wa awali kati ya wenyeji wa michuano hiyo ya Afrika, Ivory Coast walipokea kipigo kitakatifu cha mabao 3-0 kutoka kwa Zambia 'Chipolopolo'.



Mshambuliaji Given Singuluma ndiye aliyekuwa shujaa wa mchezo huo kwa kufunga mabao yote matatu ya Zambia katika dakika ya 36,47 na 76, na kuharibu sherehe zote za ufunguzi mbele ya rais Laurent Gbagbo wa Ivory Coast.




Source: Mwananchi

Friday, February 20, 2009

Pictured: Rihanna's horrific injuries after alleged bust-up with Chris Brown

This is the first picture of the brutal injuries suffered by Rihanna, allegedly at the hands of her former lover Chris Brown.

The picture of the singer's bruised, cut and swollen face appeared on American website TMZ.com.

The bust-up is alleged to have occurred after the couple had an argument as they left a pre-Grammy Awards party.

Battered: Rihanna's injuries after Brown allegedly beat her

Battered: Rihanna's injuries after Brown allegedly beat her

Both were nominated for Grammys and were scheduled to appear at the February 8 awards show but cancelled at the last minute.

Brown surrendered to Los Angeles police on February 8 and was released on $50,000 bail after being arrested for investigation of making a criminal threat, a felony.

He has not been charged by the district attorney's office, which is still investigating the case.

Brown surrendered to authorities just as the show was getting under way.

Fresh faced - Rihanna pictured just hours before the alleged bust-up

Happier times: Rihanna before the alleged attack

According to police, Brown and a woman began arguing as they were travelling in a car shortly after the February 7 party.

The fight escalated after they got out of the car, and Brown had left by the time officers arrived.

Rihanna, who turns 21 today, has not been seen in public since the alleged attack and is believed to be staying with her family in Barbados.

Rihanna and Chris Brown, pictured at a pre-Grammy party just hours before the alleged assault. They later cancelled their performances at the awards

Rihanna and Chris Brown, pictured at a pre-Grammy party just hours before the alleged assault. They later cancelled their performances at the awards

Brown spoke out about the incident for the first time this week, saying he is 'sorry and saddened' by what happened.

The 19-year-old R&B singer said he is seeking counselling from his pastor and loved ones but said much of what has been reported of the incident is untrue, although he did not elaborate.

In a statement issued through publicist Michael Sitrick, he said: 'Words cannot begin to express how sorry and saddened I am over what transpired.

'I am seeking the counselling of my pastor, my mother and other loved ones and I am committed, with God's help, to emerging a better person.

Rihanna and Chris Brown

Chris Brown, who allegedly assaulted his pop star girlfriend Rihanna last week, has spoken out for the first time saying he is 'sorry and saddened'


'Much of what has been speculated or reported on blogs and or reported in the media is wrong,' he added.

But he said he could not discuss that in detail until his case is resolved.

Meanwhile, Los Angeles police are thought to have launched an internal investigation into how the picture of Rihanna's injuries came to be released.

People.com quoted a police statement as saying: 'The photograph has the appearance of one taken during an official domestic violence investigation.

'The Los Angeles Police Department takes seriously its duty to maintain the confidentiality of victims of domestic violence.




Source: Daily Mail Uk.

Stars Yatua Salama Abidjan, Wa Kwanza

Zikiwa zimesalia saa kadhaa kabla ya vumbi la fainali za michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani (CHAN), kuanza kutimka nchini Ivory Coast Jiji la Abidjan limegubikwa na shamrashamra za ufunguzi wa michuano hiyo.

Michuano hiyo imeundwa maalumu kwa ajili ya wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani kwenye mataifa yao, imekuwa gumzo kubwa katika jiji hilo la kibiashara la taifa hilo la Afrika Magharibi.

Kutoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Felix Houphoet Boigny mpaka maeneo ya Adjame, Treichville na kwingineko katika Jiji hilo la Abidjan kuna mabango ya matangazo yenye kuitangaza michuano hiyo mipya iliyoandaliwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).

Ukifika katika Mji Mkuu huo wa Ivory Coast, ambao ni mojawapo ya miji ambayo itakuwa wenyeji wa michuano hiyo, ambayo inaanza Februari 22 na kumalizika Machi 8, utabaini joto la homa na mshawasha wa michuano hiyo kwa mashabiki wa soka wa taifa hilo liko juu na wanasubiri kwa hamu kubwa ufunguzi wake.

Mara tu utakapowasili kwenye Uwanja wa Ndege utakaribishwa na mandhari nzuri ya mabango ya umeme yaliyopambwa ndani ya kiwanja wakati ukiendelea kukamilisha taratibu za kuingia katika nchi hiyo. Hata vigari vya kubebea mizigo uwanjani hapo vimepigwa chapa yenye nembo inayotambulisha michuano mipya ya CHAN.

Vyombo vya habari vyote vya nchi hiyo, magazeti na televisheni pia haviko nyuma kutokana na habari kwenye vyombo hivyo kutawaliwa zaidi na habari za michuano hiyo mipya kwenye kalenda ya Caf. Timu za mataifa nane ikiwamo, Ivory Coast ambao wamefuzu kucheza fainali hizo kutokana na kuwa wenyeji zitakuwa zikichuana vikali kuwania taji hilo jipya.

Timu nyingine kwenye michuano hiyo ni Libya ( kutoka Kanda ya Kaskazini mwa Afrika), Ghana (Kanda ya Magharibi B), Senegal (Kanda ya Magharibi A), Tanzania (Kanda ya Kati) na Mashariki, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Kanda ya Kati) na Kanda ya Kusini ni Zambia na Zimbabwe. Kundi A la michuano hiyo, ambalo litakuwa likichezea mechi zake katika Jiji la Abidjan linaundwa na wenyeji Ivory Coast , Senegal, Tanzania na Zambia, wakati lile la B lina timu za Ghana, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Libya na Zimbabwe.


Thursday, February 19, 2009

Mahakama maalum Kenya yaahirishwa

Mahakama maalum kuwashtaki walioshiriki ghasia baada ya uchaguzi yaahirishwa Kenya

Waziri Mkuu wa Kenya amesema nchi hiyo inayo miezi miwili kusubiri kabla ya kuanzishwa mahakama maalum ya kuwashtaki waliohusika na ghasia baada ya uchaguzi.

Bwana Raila Odinga amesema Kofi Annan ameafiki kusogezwa mbele muda wa kuanzishwa mahakama hiyo.

Bwana Annan alisimamia upatanishi hadi kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa mwaka mmoja uliopita, hali iliyomaliza ghasia ambapo watu takriban 1,500 waliuawa.

Wiki iliyopita wabunge waliukataa muswada wa kuundwa mahakama hiyo, licha ya juhudi za ushawishi kutoka kwa Rais Mwai Kibaki na Waziri Mkuu, Mr Odinga.

Wanaoupinga muswada huo walisema hawana imani na mfumo wa sheria wa Kenya na wametaka watuhumiwa wote ni lazima wafikishwe mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu ya The Hague- ICC.



Source: BBC

Victoria Beckham at Emporio Armani Show in NY

























pictures via dailymail and The Sun

Chelsea Open Training at Stamford Bridge







pictures via dailymail

Monday, February 16, 2009

Who's the Daddy? 13-year-old Alfie to take DNA test to prove he is the baby's father

Schoolboy father Alfie Patten has claimed that he is happy to take a DNA test to prove he is the father of his 15-year-old girlfriend's baby.

Two other youths have come forward to claim they also slept with Chantelle, despite the couple's protestations that there is no doubt Alfie is the father.

Chantelle and Alfie insist the other boys are lying and the young father has vowed to take the DNA test to prove he is the father once and for all.

He said: 'Other stupid boys are lying, saying bad things, like they have slept with Chantelle too.

'But I am the only boyfriend she has had and we've been together for two years, so I must be the dad.

When she found out she was having a baby, I asked her "Am I the dad?" and she went "Yeah" so I believe her.'

 Alfie Patten, now 13, cradles Maisie


Eye of the storm: Alfie Patten, now 13, cradles Maisie


He added: 'I didn't know about DNA tests before, but Mum explained it's when they do a swab in your mouth and it tells you if you're the dad. So, if I have that, they can all shut up.

'But I don't really care what people say. And I don't like them being bad about Chantelle.'

Trainee chef Richard Goodsell, 16, who lives near Chantelle in Eastbourne, claimed they had sex at least three times around the time she became pregnant.

He said: 'I know I could be the father. Everyone thinks I am. My friends all tell me that baby has my eyes - even my mum thinks so.'


Father figure? Tyler Barker, 14 (right), and Richard Goodsell, 16 (left), both believe they could be Maisie's father

A second youth, 14-year-old Tyler Barker, also thinks he could be Maisie's father.

'I slept with Chantelle about nine months ago and I'm really worried I could be the father,' he said.

'I hope it's not me. All my mates have been teasing me about it but this isn't funny, it's serious.'

But Chantelle has insisted that 13-year-old Alfie is the only boy she has slept with.

She said: 'I love Alfie. I lost my virginity to him. We decided to start a physical relationship because we love each other. There has been no one else.'

A family friend said: 'Chantelle and Alfie only had sex once. Since then she hasn't let him near her but he's besotted with her. It's the classic case of puppy love.

'He adores that baby, if it turned out it wasn't his after all this he would be devastated beyond words.'

Chantelle gave birth to baby Maisie Roxanne last Monday and both families are being accused of trying to cash in.


Unmasked: Alfie with father Dennis

Alfie's father has instructed PR guru Max Clifford to broker deals on his son's behalf - he is already being tailed by a TV documentary team - while Chantelle and her newborn daughter spent much of the weekend with a newspaper.

Questions were raised last night over the response of social services to the case of under-age parents Chantelle Stedman and Alfie Patten.

Friends of 15-year-old Chantelle claimed that health or social workers have had little or no contact with the vulnerable young mother since she was sent home from hospital last week.

In addition, her baby-faced 'boyfriend' - just 12 when the child was conceived - did not see his case worker last week, according to sources close to his parents.

A family friend said Chantelle has spent much of the last 24 hours in 'floods of tears' and Alfie has thrown a series of tantrums.

Last night a spokesman for East Sussex County Council said they had been closely involved with both families and said staff were planning to visit this week but refused to comment on claims that they had not made a formal visit over the last few days.

Tory MP Ann Widdecombe said: 'It's appalling that social workers were not in there from day one. What is crucial is the welfare of the child at the centre of this shambles who is an innocent party in all this.'


Similar: Baby Alfie at four months old and little Maisie Roxanne

Eastbourne Tory MP Nigel Waterson said: 'I am surprised that social services have not been involved considering that they have put out a statement saying that they would give all possible support.

'If the family feel they are not getting the support they need, I am happy for them to contact me and I can take it up with whoever necessary.'

Former Tory leader Iain Duncan Smith, who is the chairman of the Centre for Social Justice, said he was not surprised that social workers had not visited the family since the birth because the care system is stretched to breaking point.

He said: 'The welfare system is creaking and crumbling, and major change is required.'

Both the Pattens and the Stedmans have been accused of courting the media with rumours of newspaper and TV deals worth thousands of pounds.

Yesterday there were farcical scenes at the home Alfie shares with his mother Nicola in Hailsham, East Sussex when his estranged father Dennis Patten arrived.

The father-of-nine vehicle fitter was wearing a devil mask and carrying a fluorescent yellow placard saying 'No comment. Call Max' - a reference to publicist Mr Clifford.

A TV crew from Channel 4's Cutting Edge team followed close behind.

Farcical: Dennis Patten in a devil mask yesterday. His placard refers to publicist Max Clifford


Source: Daily Mail Uk.

Prisons yaendeleza uteja Libya

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kuwania kombe la Shirikisho timu ya Prisons, imetupwa nje ya michuano hiyo kwa jumla ya bao 6-0, baada ya juzi kukubali kichapo cha bao 4-0 kutoka kwa wapinzani wao Khalij Sert ya Libya.

Katika mchezo huo uliochezwa Tripol, Prisons ilitakiwa kushinda bao 3-0,ili iweze kusonga mbele kutokana na kukubali kichapo cha bao 2-0, katika mchezo wa awali uliochezwa kwenye uwanja wa Uhuru zamani uwanja wa taifa, jijini Dar es Salaam.

Prisons, ilionekana thaifu mbele ya Khalij Sert kutokana na kucheza hovyo katika dakika zote za mchezo, ambapo iliwachukua muda mfupi walibya hao kupachika bao la kuongoza.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka Libya zimeeleza kuwa wawakilishi hao wa Tanzania walishindwa kufurukuta mbele ya khalij, ambapo hawakufanya hata shambulizi la maana langoni mwa wapinzani wao.

Kwa matokeo hayo Prisons itakuwa imeungana na wawakilishi wengine wa Zanzibar kutolewa kwenye michuano ya kimataifa,ambazo ni timu ya Miembeni na Mundu, ambapo Miembeni imetolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa na Monomotapa ya Zimbabwe kwa jumla ya bao 3-2.

Mundu imetolewa na Red Arrows ya Zambia kwa jumla ya bao 7-0, baada ya kukubali kichapo cha bao 6-0,kwenye mchezo wa awali na katika mchezo wa marudiano uliochezwa jijini Dar es salaam timu hiyo ilifungwa bao 1-0.

Hiyo ni mara ya tatu kwa Prisons kushindwa kufanya vizuri kwenye michuaano ya kimataifa kutokana na kutolewa katika hatua za awali katika miaka yote iliyowahi kushiriki.

Timu hiyo inatarajia kurejea jijini Dar es Salaam keshokutwa na mara baada ya kutua jijini itakaa kwa muda mfupi kabla ya kurejea Mbeya kuendelea na maandalizi ya raundi ya pili ya Ligi Kuu.




Source: Nipashe

Ngassa awachachafya Wacomoro

Winga nyota Mrisho Ngassa jana aling'ara wakati alipopachika mabao manne wakati Yanga ilipoibuka na ushindi wa 6-0 dhidi ya Etoile d'Or Mirontsy ya Comorro katika mchezo wa marudiano wa mtoano wa Ligi ya Mabingwa wa Afrika.

Kwa matokeo hayo sasa, Yanga imeweza kusonga mbele kwa jumla ya mabao 14-1 baada ya kuibuka na ushindi wa 8-1 katika mchezo wa kwanza uliochezwa wiki mbili zilizopita jijini, Dar es Salaam.

Yanga sasa itavaana na Al-Ahly ya Misri katika raundi ya kwanza ya mashindano hayo itakayochezwa mwezi Machi.

Mchezo ulichezwa katika uwanja wa Said Mohamed Cheikh ulioko mjini hapa, ambapo hakuna mawasiliano ya aina yoyote ya simu na uko kilomita 40 kutoka mji mkuu wa Comoro, Moroni.

Hata hivyo, Etoile ililazimika kutumia uwanja huo wenye nyasi bandia kutokana na kutokea katika kisiwa cha Anjoun, ambako hakuna uwanja wenye hadhi ya kimataifa.

Ngassa alikuwa "mwiba" wa Wacomoro, ambapo mara nyingi alikuwa akiwachachafya kwa chenga na mbio zake.

Aliweza kufunga mabao yake yote katika kipindi cha kwanza na baadae kutolewa na Kocha Dusan Kondic wakati kipindi cha pili kilipoanza.

Ngassa alizamisha bao lake katika dakika ya tatu wakati alipoweza kuunganisha mpira wa kona uliochongwa na Amir Maftah na kuongeza bao la pili mnano dakika ya 33 baada ya kuunganisha krosi ya Fred Mbuna.

Bao la mechi lilikuwa lile la tatu katika dakika ya 39, wakati alipoweza kuwalamba chenga mabeki wa Etoile kuanzia katikati ya uwanja na kuweza kuzamisha mpira wavuni.

Goli hili linaweza kufananishwa na lile la nyota wa zamani wa Argentina, Diego Maradona alilofunga dhidi ya England wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 1986 nchini Mexico wakati alipowapiga chenga mabeki wanne wa England na kujaza mpira wavuni na timu yake kupata ushindi wa 2-1.

Ngassa alifunga mahesabu yake katika dakika ya 41 wakati alipounganisha krosi ya mshambuliaji Mkenya Boniface Ambani.

Vincent Barnabas aliifungia Yanga bao la tano katika dakika ya 77 wakati Ambani alimalizia bao la sita katika dakika ya 88 baada ya kuwahi mpira wa uliotemwa na kipa.




Source: Nipashe

Sunday, February 15, 2009

Mwalimu Asimulia Bakora Alizopata Kutoka Kwa Mkuu Wa Wilaya

Mmoja wa walimu waliocharazwa viboko Jumatano iliyopita asubuhi mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnali, ni mwalimu Ativus Leonard (33) wa shule ya msingi Katerero.

Akizungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) juzi, Leonard alisimulia kuwa siku hiyo Mkuu wa Wilaya alifika shuleni kwao na kufanya mkutano na Mkuu wa Shule na walimu wengine.

Katika mkutano huo, Mkuu wa Wilaya aliwaambia kuwa amekuwa akifuatilia walimu wanaochelewa kufika kazini. "Alisoma majina ya walimu waliokuwa wakituhumiwa. Nilikuwa mmoja wao. Nilichelewa mara mbili kufika kazini mwezi uliopita," alikiri Mwalimu Leonard.

Baada ya kusoma majina hayo, kila mmoja aliulizwa atoe sababu za kuchelewa, ndipo yeye alipomwambia kuwa sababu zilitofautiana, yawezekana kuwa za kifamilia au ugonjwa. Ndipo Mkuu wa Wilaya akawambia tabia yao ya kuchelewa ilikuwa inaathiri maendeleo ya shule na kuifanya kushika mkia katika taaluma, jambo ambalo halikubaliki.

"Akasema atatuadhibu sawia. "Kwanza nilidhani anatania. Nikajiambia kuwa hilo halitawezekana...kwa kweli tangu hili litokee nimeshindwa kabisa kufundisha," alisema Mwalimu Leonard. Alisema lakini milango ya chumba cha walimu ilipofungwa na walimu kupangwa tayari kupokea adhabu ya viboko, ndipo mwalimu huyo alipoamini kuwa kumbe linawezekana.

"Walimu wenzetu saba wa kike, walichapwa viganjani, ilipofika zamu yangu, ofisa wa Polisi akaniamuru nilale chini ili nipate adhabu yangu. Nilikataa, lakini alinipiga mtama nikaanguka," alisema Leonard. Alisema wakati akiwa chini, polisi huyo aliendelea kumpiga kwa fimbo kubwa.

"Alinipiga kila mahali; miguuni, kifuani, mikononi. Alipomaliza, nilikwenda hospitalini kwa matibabu. Nilipewa dawa lakini bado nasikia maumivu kifuani," alilalamika. Alisema aliumia miguu pia, lakini kinachomuuma zaidi ni kuwa aliathirika kisaikolojia.

"Hii imenifanya nione aibu kukutana na wanafunzi. Hata kama hawakuniona nachapwa, lakini wanajua nini maana ya kuchapwa," alisema. Alisema ameshindwa kufundisha kwa sababu sasa anajisikia mnyonge mbele ya wanafunzi wake.

"Nimeoa na nina watoto wanne. Mke wangu naye ni mwalimu katika shule tofauti na yangu. Amekasirika kusikia kuwa nimefanyiwa hivi," alisimulia. Alisema mpaka sasa bado ana hasira na ameshikwa na bumbuwazi na haelewi kilichotokea. Pamoja na Mkuu wa Wilaya kuadhibiwa, lakini naye anatafuta jinsi ya kufidiwa na serikali kwa machungu yaliyompata.

Naye Phinias Bashaya, anaripoti kutoka Bukoba, kwamba siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kumvua madaraka Mnali, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Kagera, kimekiri kuwa baadhi ya walimu walisingizia kucharazwa viboko na mkuu huyo, ili kuwaunga mkono walimu wenzao.

Kauli hiyo imekuja baada ya viongozi wa chama hicho kuombwa kuthibitisha idadi halisi ya walimu waliocharazwa viboko baada ya vyombo vya habari kuripoti idadi tofauti ya walimu waliodaiwa kukumbwa na tukio hilo.

Wakizungumza katika ofisi zao mjini hapa jana, Katibu wa Mkoa, Aaron Masalu, alisema waliupokea kwa furaha uamuzi wa Rais na kuupongeza na kukiri kuwa walitembelea shule zilizohusika na tukio hilo na kuambiwa na walimu kuwa hata ambao hawakucharazwa nao waliingia katika mkumbo.

Alisema baada ya kugundua hali hiyo ya kutofahamu idadi halisi ya walimu waliocharazwa huku walimu wote wakidai kuchapwa, ilibidi viongozi hao na walimu wakubaliane waandaliwe walimu wenye uwezo wa kujieleza na kufafanua mazingira ya tukio lenyewe hata kama hawakuhusika na adhabu hiyo.

Akitetea hali hiyo, Mwenyekiti wa CWT, Dauda Bilikesi, alitolea mfano wa mtoto anayeweza kukunja ngumi kumtishia mzazi wake, hali ambayo alisema lazima itafsiriwe kuwa mtoto huyo alimpiga mzazi wake hata kama hakumgusa.

Naye Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Bukoba Vijijini, Gosbert Mashasi, mbali na kuungana na viongozi wenzake, pia alikiri upungufu miongoni mwa walimu na kusema wanaipongeza hatua iliyochukuliwa na Rais dhidi ya Mkuu wa Wilaya. Wakitoa maoni yao kuhusu hatua ya kuvuliwa madaraka kwa Mkuu wa Wilaya baadhi ya wakazi wa Kagera wakiwamo viongozi, walikuwa na maoni tofauti.

Florian Kaiza (34) mfanyabiashara wa mjini hapa aliupongeza uamuzi wa Rais akisema unafaa kwani kilichofanyika ni udhalilishaji mkubwa dhidi ya walimu. Aliongeza kuwa walimu walishapata jibu walilolihitaji na kuwaasa kuwa hakuna haja ya kuandamana badala yake watulie na wafanye kazi bila kuvunjika moyo, akiungwa mkono na Diwani wa Kasharunga, Muleba, Ponsian Rweyemamu (43), aliyeongeza kuwa yapo masuala mengi nchini yanayohitaji uamuzi wa haraka kama alivyofanya Rais.

Akizungumza kwa simu, Mwalimu Leonard ambaye pia ni Katibu wa Chama cha walimu kwenye shule hiyo, alisema alifarijika na uamuzi dhidi ya Mkuu wa Wilaya na kusema sasa walimu watulie na kufanya kazi. Tofauti na wengine kijana aliyejitambulisha kwa jina la Kraish Ally (32) wa mjini hapa, alisema Mkuu wa Wilaya ameonewa, akidai kuwa walimu wamewachosha wazazi kwa utoro na kutofundisha.

Alisema walimu wamekuwa wa kwanza kuvunja haki za watoto ambao wanastahili kufundishwa na badala yake kutanguliza miradi yao aliyosema inaendeshwa hata shuleni wakati wa masomo. Juzi Rais Kikwete alichukua hatua ya kumvua madaraka Mkuu huyo wa Wilaya kwa kuvunja Kanuni ya Sheria za Utumishi wa Umma na kuidhalilisha Ofisi na Mamlaka ya Ukuu wa Wilaya.



Zimbabwe bado yazongwa na mizengwe

Bw Bennet ni mwanasiasa aliyewahi kuwa mkulima

Polisi nchini Zimbabwe wamemfungulia mashtaka ya uhaini mwanachama mwandamizi wa chama cha MDC kinachoongozwa na waziri mkuu Morgan Tsvangirai, chama hicho kimeeleza.

Roy Bennett, mteuliwa wa kiti cha naibu waziri wa kilimo, alifunguliwa mashtaka saa chache baada ya kuapishwa kwa baraza jipya la mawaziri kwa mujibu wa mkataba wa kugawana madaraka, chama cha MDC kimeeleza.

Taarifa ya chama hicho imeelezea mashtaka hayo kuwa ni kashfa na yenye mwelekeo wa kuchochewa kisiasa.

Awali, sherehe ya kuapishwa kwa baraza hilo ilikumbwa na utata kuhusu mgawanyo wa viti vya mawaziri.

Kwa mujibu wa mkataba wa ugawanaji madaraka ulioafikiwa baada ya miezi mingi ya majadiliano tangu uchaguzi uliozua mzozo, chama cha Zanu-PF kinachoongozwa na rais Robert Mugabe kitapata viti 15 na makundi mawili ya MDC yanayopingana yatagawana viti 16 serikalini.

Lakini wanachama saba zaidi wa Zanu-PF walijitokeza ikulu mjini Harare kuapishwa.Swala hilo lilipatiwa ufumbuzi baada ya majadiliano makali yaliyofanyika kwa faragha.


Source: BBC

If the shoe fits: World's shortest man meets world's biggest shoe

The world's shortest man He Ping Ping took Tokyo by storm while visiting the city on Friday to launch the 2009 edition of the Guinness Book of World Records.

Mr Ping Ping, who was born with a form of dwarfism and is 74.1 cm tall and 7kg in weight, easily slipped into the shoe of the world's tallest man. He has been officially named by the book as the world's shortest man.

He lives in Inner Mongolia, China, and Tokyo is just one of many places around the world he has visited, including London and New York.

He Ping Ping


He Ping Ping holds a shoe of the world's tallest person at The Guinness World Records Museum in Tokyo on Friday


Mr Ping Ping said: 'I'm not particularly envious of someone who is tall. If you're tall it is hard to move and it's very inconvenient,' according to reports.

'I can weave my way through tight spots if I'm short. It's much better to be short,' he added.

Mr Ping Ping


Mr Ping Ping stands in front of a statue of the world's tallest person at the exhibition

Mr Ping Ping

Surrounded by photographers at a press conference in Tokyo


He is friends with another title holder, Bao Xishun, who was once the world's tallest man at 2.36m. Mr Xishun also lives in China's Inner Mongolia.

The current title holder for world's tallest man is Leonid Stadnyk, a 37-year-old former veterinarian from the Ukraine. At 2.57m, he is taller than Mr Xishun by 0.22cm.

Friends: Mr Ping Ping meeting with Bao Xishun in 2007. Mr Xishun was once the world's tallest man


Source: Daily Mail Uk

If the shoe fits: World's shortest man meets world's biggest shoe

The world's shortest man He Ping Ping took Tokyo by storm while visiting the city on Friday to launch the 2009 edition of the Guinness Book of World Records.

Mr Ping Ping, who was born with a form of dwarfism and is 74.1 cm tall and 7kg in weight, easily slipped into the shoe of the world's tallest man. He has been officially named by the book as the world's shortest man.

He lives in Inner Mongolia, China, and Tokyo is just one of many places around the world he has visited, including London and New York.

He Ping Ping

He Ping Ping holds a shoe of the world's tallest person at The Guinness World Records Museum in Tokyo on Friday

Mr Ping Ping said: 'I'm not particularly envious of someone who is tall. If you're tall it is hard to move and it's very inconvenient,' according to reports.

'I can weave my way through tight spots if I'm short. It's much better to be short,' he added.

Mr Ping Ping

Mr Ping Ping stands in front of a statue of the world's tallest person at the exhibition

Mr Ping Ping

Surrounded by photographers at a press conference in Tokyo

He is friends with another title holder, Bao Xishun, who was once the world's tallest man at 2.36m. Mr Xishun also lives in China's Inner Mongolia.

The current title holder for world's tallest man is Leonid Stadnyk, a 37-year-old former veterinarian from the Ukraine. At 2.57m, he is taller than Mr Xishun by 0.22cm.

Friends: Mr Ping Ping meeting with Bao Xishun in 2007. Mr Xishun was once the world's tallest man


Source: Daily Mail Uk