

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imefufua matumaini ya kuingia nusu fainali ya Fainali za Afrika kwa wachezaji wa Ligi za Ndani, CHAN baada ya kuifunga Ivory Coast bao 1-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Felix Houphouet Boigny, mjini Abidjan jana.
Matokeo hayo yamewaondosha kabisa wenyeji katika michuano hiyo, sasa watacheza na Senegal Jumamosi, mchezo wa kukamilisha ratiba katika mchezo wa kwanza walifungwa mabao 3-0 na Zambia.
Stars bado iko katika nafasi ya tatu ikiwa na pointi tatu wakati Zambia inaongoza ikiwa na pointi nne sawa na Senegal lakini Zambia ina mabao mengi. Wenyeji wanashika mkia kwa kutokuwa na pointi.
Ili kusonga mbele, Stars inahitaji ushindi dhidi ya Zambia Jumamosi huku ikiombea Ivory Coast kumfunga Senegal ili kujihakikishia nafasi nzuri zaidi.
Ukiacha hayo, katika mchezo wa jana, wenyeji walianza kwa kasi na kuanza kushambulia mfululizo lango la wapinzani wao, lakini hata hivyo, ngome ya Stars chini ya Shadrack Nsajigwa, Salum Swed, Juma Jabu na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ walisimama imara kupunguza kasi ya mashambulizi.
Kasi ya wenyeji iliwachanganya mara kwa mara Stars hata kuruhusu kona 17, nane zikipigwa kipindi cha kwanza huku wenyewe wakiambulia nne kipindi cha pili na kipindi cha kwanza hawakupata kona.
Kiujumla Ivory Coast walifanya mashambulizi mengi wakiongozwa na Junior Mango, Sanny Karamoko na Silvestre Nene lakini hata hivyo hayakuwa na madhara kutokana na ukuta imara wa Tanzania.
Stars ambayo ilichapwa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza na Senegal, walionyesha kubadilika lakini pengine ni kutokana na kubadilisha kikosi kwa kumuanzisha Mussa Hassan Mgosi na Kigi Makassi.
Kocha wa timu hiyo, Marcio Maximo alimtema kikosini Haruna Moshi ‘Boban’ pamoja na Athumani Idd ‘Chuji’ ambao hata hivyo, Mwananchi ilifuatilia na kugundua kuwapo na ‘bifu’ la chini kwa chini kati ya Boban na Maximo wakati Chuji alijitonesha mazoezini.
Wachezaji hao wote walikuwa jukwaani na hawakuwa hata katika benchi la ufundi.
Watanzania walishangilia kwa nguvu katika dakika ya 38 wakati Mrisho Ngassa alipopachika bao kwa kichwa baada ya kupata pande la mbali la Henry Joseph kutoka katikati ya uwanja.
Stars iliyokuwa ikishambulia kwa kushtukiza, waliliandama lango la wapinzani wao kipindi cha kwanza huku Mussa Hassan Mgosi, Ngassa wakiwatesa wenyeji kwa kuunganishwa na Henry Joseph, Kigi Makasi na Nizar Khalfan.
Hata hivyo, Henry na Nizar walionekana kupwaya kwa vipindi hata kupoteza mipira mfululizo. Kipindi cha pili, Maximo alifanya mabadiliko kadhaa, aliwatoa Henry Joseph, Mussa Hassan Mgosi na Mrisho Ngassa na nafasi zao kuchukuliwa na Mwinyi Kazimoto, Shaaban Nditi na Jerry Tegete lakini hata hivyo sura ya mchezo haikubadilika.
Stars iliwakilishwa na Juma Dihile, Shadrack Nsajigwa, Juma Jabu, Said Sued, Nadir Haroub, Nurdin Bakari, Henry Joseph/Shaaban Nditi, Nizar Khalfan, Mussa Hassan Mgosi/Mwinyi Kazimoto, Mrisho Ngassa/Jerry Tegete na Kigi Makassi.
Katika mchezo mwingine, Zambia na Senegal zilitoka suluhu katika mchezo uliokuwa na ushindani.
Source: Mwananchi
Finally! A triumphant Kate Winslet thanked her family as she won the best actress Oscar for The Reader at the 81st Academy Awards in LA
Winner's joy: The actress embraces her director husband Sam Mendes after winning her Academy Award
More...
Other British wins on the night included The Duchess, starring Keira Knightley, which won an Oscar for best costume design.
'I would like to congratulate Danny Boyle and all those who worked on Slumdog Millionaire on winning an incredible eight Academy Awards,' he said.
Kate, centre, is congratulated by Sophia Loren, left, Nicole Kidman, Shirley MacLaine and last year's winner Marion Cotillard
Hollywood glamour: Kate wore a one-shouldered gunmetal grey gown, and an old-fashioned swept-back hairstyle for the ceremony
Producer Christian Colson is joined by the cast and crew of Slumdog Millionaire onstage after the film is named Best Picture
Triumphant: Director Boyle celebrates with his young stars Dev Patel (Salim) and Azharuddin Mohammed Ismail (youngest Salim)
Boyle, left, poses with Rubiana as they arrive at the Governors Ball following the 81st Academy Awards
Art mirrored life for the rags-to-riches tale which almost became a victim of the financial climate when Time Warner Inc. announced it would shut down Warner Independent, which had bought its North American distribution rights.
But company Fox Searchlight stepped in to distribute it, eventually showing it in 1,600 theatres in the US.Neighbours of actor Azharuddin Mohammed Ismail (Jamal) watch the Academy Awards near his home, in a slum in Bandra, Mumbai, India
In a moving moment the late Heath Ledger's father Kim accepted his son's Oscar flanked by Heath's mother Sally Bell and sister Kate
Comedian Ben Stiller dons a beard to play Joaquin Phoenix, left, as he and actress Natalie Portman present an award
Host with the most: Actor Hugh Jackman did a dazzling turn as the unusual pick for the job of Oscar host
Jackman performs with Beyonce in a show-stopping musical routine
Razzle dazzle them: Oscar host Hugh Jackman and Beyonce , High School Musical's Zac Efron and Vanessa Hudgens and Mama Mia's Dominic Cooper and Amanda Seyfried pair up to perform a big musical number
TANZANIA kwa mara nyingine imeanza vibaya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN, baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Senegal, huku jirani zao Zambia wakitoa onyo kwa timu nyingine kwa kuwafunga wenyeji wa michuano hiyo ya CHAN, Ivory Coast kwa mabao 3-0.
Taifa Stars iliyoanza mchezo huo vibaya kwa safu ya ulinzi kushindwa kuelewana vizuri na kuacha mipira ya juu kutawaliwa na washambuliaji wa Senegal waliokuwa makini zaidi kutumia mwanya huo.
Mshambuliaji Mamadou Traore aliunganisha vizuri krosi kwa kichwa kilichomshinda kipa Shabaan Dihile katika dakika ya 29 na kuipa Ivory Coast bao pekee.
Kuingia kwa bao hilo kulirudisha hali Stars kujaribu kufanya mashambulizi mengi kupitia kwa winga wake Mrisho Ngassa aliyekuwa chini ya ulinzi mkali wa ngome ya Senegal.
Kocha Marcio Maximo alijaribu kuwatoa Godfrey Bonny, Haruna Moshi na Jerry Tegete walioshindwa kuonyesha kiwango cha kuvutia na nafasi zao kuchuliwa na Nurdin Bakari, Musa Hassan Mgosi na Abdi Kassim.
Kuingia kwa wachezaji hao Taifa Stars ilichangamka na kufanya mashumbulizi mengi katika kipindi cha pili, lakini walishindwa kumalizia nafasi nyingi walizotengeneza.
Katika mchezo wa awali kati ya wenyeji wa michuano hiyo ya Afrika, Ivory Coast walipokea kipigo kitakatifu cha mabao 3-0 kutoka kwa Zambia 'Chipolopolo'.
Mshambuliaji Given Singuluma ndiye aliyekuwa shujaa wa mchezo huo kwa kufunga mabao yote matatu ya Zambia katika dakika ya 36,47 na 76, na kuharibu sherehe zote za ufunguzi mbele ya rais Laurent Gbagbo wa Ivory Coast.
Source: Mwananchi
This is the first picture of the brutal injuries suffered by Rihanna, allegedly at the hands of her former lover Chris Brown.
The picture of the singer's bruised, cut and swollen face appeared on American website TMZ.com.
The bust-up is alleged to have occurred after the couple had an argument as they left a pre-Grammy Awards party.
Battered: Rihanna's injuries after Brown allegedly beat her
Both were nominated for Grammys and were scheduled to appear at the February 8 awards show but cancelled at the last minute.
Brown surrendered to Los Angeles police on February 8 and was released on $50,000 bail after being arrested for investigation of making a criminal threat, a felony.
He has not been charged by the district attorney's office, which is still investigating the case.
Brown surrendered to authorities just as the show was getting under way.
Happier times: Rihanna before the alleged attack
According to police, Brown and a woman began arguing as they were travelling in a car shortly after the February 7 party.
The fight escalated after they got out of the car, and Brown had left by the time officers arrived.
Rihanna, who turns 21 today, has not been seen in public since the alleged attack and is believed to be staying with her family in Barbados.
Rihanna and Chris Brown, pictured at a pre-Grammy party just hours before the alleged assault. They later cancelled their performances at the awards
Brown spoke out about the incident for the first time this week, saying he is 'sorry and saddened' by what happened.
The 19-year-old R&B singer said he is seeking counselling from his pastor and loved ones but said much of what has been reported of the incident is untrue, although he did not elaborate.
In a statement issued through publicist Michael Sitrick, he said: 'Words cannot begin to express how sorry and saddened I am over what transpired.
'I am seeking the counselling of my pastor, my mother and other loved ones and I am committed, with God's help, to emerging a better person.
Chris Brown, who allegedly assaulted his pop star girlfriend Rihanna last week, has spoken out for the first time saying he is 'sorry and saddened'
'Much of what has been speculated or reported on blogs and or reported in the media is wrong,' he added.
But he said he could not discuss that in detail until his case is resolved.
Meanwhile, Los Angeles police are thought to have launched an internal investigation into how the picture of Rihanna's injuries came to be released.
People.com quoted a police statement as saying: 'The photograph has the appearance of one taken during an official domestic violence investigation.
'The Los Angeles Police Department takes seriously its duty to maintain the confidentiality of victims of domestic violence.
Source: Daily Mail Uk.
Bwana Raila Odinga amesema Kofi Annan ameafiki kusogezwa mbele muda wa kuanzishwa mahakama hiyo.
Bwana Annan alisimamia upatanishi hadi kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa mwaka mmoja uliopita, hali iliyomaliza ghasia ambapo watu takriban 1,500 waliuawa.
Wiki iliyopita wabunge waliukataa muswada wa kuundwa mahakama hiyo, licha ya juhudi za ushawishi kutoka kwa Rais Mwai Kibaki na Waziri Mkuu, Mr Odinga.
Wanaoupinga muswada huo walisema hawana imani na mfumo wa sheria wa Kenya na wametaka watuhumiwa wote ni lazima wafikishwe mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu ya The Hague- ICC.
Source: BBC
Two other youths have come forward to claim they also slept with Chantelle, despite the couple's protestations that there is no doubt Alfie is the father.
Chantelle and Alfie insist the other boys are lying and the young father has vowed to take the DNA test to prove he is the father once and for all.
He said: 'Other stupid boys are lying, saying bad things, like they have slept with Chantelle too.
'But I am the only boyfriend she has had and we've been together for two years, so I must be the dad.
When she found out she was having a baby, I asked her "Am I the dad?" and she went "Yeah" so I believe her.'
Eye of the storm: Alfie Patten, now 13, cradles Maisie
He added: 'I didn't know about DNA tests before, but Mum explained it's when they do a swab in your mouth and it tells you if you're the dad. So, if I have that, they can all shut up.
'But I don't really care what people say. And I don't like them being bad about Chantelle.'
Trainee chef Richard Goodsell, 16, who lives near Chantelle in Eastbourne, claimed they had sex at least three times around the time she became pregnant.
He said: 'I know I could be the father. Everyone thinks I am. My friends all tell me that baby has my eyes - even my mum thinks so.'
A second youth, 14-year-old Tyler Barker, also thinks he could be Maisie's father.
'I slept with Chantelle about nine months ago and I'm really worried I could be the father,' he said.
'I hope it's not me. All my mates have been teasing me about it but this isn't funny, it's serious.'
But Chantelle has insisted that 13-year-old Alfie is the only boy she has slept with.
She said: 'I love Alfie. I lost my virginity to him. We decided to start a physical relationship because we love each other. There has been no one else.'
A family friend said: 'Chantelle and Alfie only had sex once. Since then she hasn't let him near her but he's besotted with her. It's the classic case of puppy love.
'He adores that baby, if it turned out it wasn't his after all this he would be devastated beyond words.'
Chantelle gave birth to baby Maisie Roxanne last Monday and both families are being accused of trying to cash in.
Unmasked: Alfie with father Dennis
Alfie's father has instructed PR guru Max Clifford to broker deals on his son's behalf - he is already being tailed by a TV documentary team - while Chantelle and her newborn daughter spent much of the weekend with a newspaper.
Questions were raised last night over the response of social services to the case of under-age parents Chantelle Stedman and Alfie Patten.
Friends of 15-year-old Chantelle claimed that health or social workers have had little or no contact with the vulnerable young mother since she was sent home from hospital last week.
In addition, her baby-faced 'boyfriend' - just 12 when the child was conceived - did not see his case worker last week, according to sources close to his parents.
A family friend said Chantelle has spent much of the last 24 hours in 'floods of tears' and Alfie has thrown a series of tantrums.
Last night a spokesman for East Sussex County Council said they had been closely involved with both families and said staff were planning to visit this week but refused to comment on claims that they had not made a formal visit over the last few days.
Tory MP Ann Widdecombe said: 'It's appalling that social workers were not in there from day one. What is crucial is the welfare of the child at the centre of this shambles who is an innocent party in all this.'
Eastbourne Tory MP Nigel Waterson said: 'I am surprised that social services have not been involved considering that they have put out a statement saying that they would give all possible support.
'If the family feel they are not getting the support they need, I am happy for them to contact me and I can take it up with whoever necessary.'
Former Tory leader Iain Duncan Smith, who is the chairman of the Centre for Social Justice, said he was not surprised that social workers had not visited the family since the birth because the care system is stretched to breaking point.
He said: 'The welfare system is creaking and crumbling, and major change is required.'
Both the Pattens and the Stedmans have been accused of courting the media with rumours of newspaper and TV deals worth thousands of pounds.
Yesterday there were farcical scenes at the home Alfie shares with his mother Nicola in Hailsham, East Sussex when his estranged father Dennis Patten arrived.
The father-of-nine vehicle fitter was wearing a devil mask and carrying a fluorescent yellow placard saying 'No comment. Call Max' - a reference to publicist Mr Clifford.
A TV crew from Channel 4's Cutting Edge team followed close behind.
Farcical: Dennis Patten in a devil mask yesterday. His placard refers to publicist Max Clifford
Source: Daily Mail Uk.
Roy Bennett, mteuliwa wa kiti cha naibu waziri wa kilimo, alifunguliwa mashtaka saa chache baada ya kuapishwa kwa baraza jipya la mawaziri kwa mujibu wa mkataba wa kugawana madaraka, chama cha MDC kimeeleza.
Taarifa ya chama hicho imeelezea mashtaka hayo kuwa ni kashfa na yenye mwelekeo wa kuchochewa kisiasa.
Awali, sherehe ya kuapishwa kwa baraza hilo ilikumbwa na utata kuhusu mgawanyo wa viti vya mawaziri.
Kwa mujibu wa mkataba wa ugawanaji madaraka ulioafikiwa baada ya miezi mingi ya majadiliano tangu uchaguzi uliozua mzozo, chama cha Zanu-PF kinachoongozwa na rais Robert Mugabe kitapata viti 15 na makundi mawili ya MDC yanayopingana yatagawana viti 16 serikalini.
Lakini wanachama saba zaidi wa Zanu-PF walijitokeza ikulu mjini Harare kuapishwa.Swala hilo lilipatiwa ufumbuzi baada ya majadiliano makali yaliyofanyika kwa faragha.
Source: BBC
The world's shortest man He Ping Ping took Tokyo by storm while visiting the city on Friday to launch the 2009 edition of the Guinness Book of World Records.
Mr Ping Ping, who was born with a form of dwarfism and is 74.1 cm tall and 7kg in weight, easily slipped into the shoe of the world's tallest man. He has been officially named by the book as the world's shortest man.
He lives in Inner Mongolia, China, and Tokyo is just one of many places around the world he has visited, including London and New York.
He Ping Ping holds a shoe of the world's tallest person at The Guinness World Records Museum in Tokyo on Friday
Mr Ping Ping said: 'I'm not particularly envious of someone who is tall. If you're tall it is hard to move and it's very inconvenient,' according to reports.
'I can weave my way through tight spots if I'm short. It's much better to be short,' he added.
Mr Ping Ping stands in front of a statue of the world's tallest person at the exhibition
Surrounded by photographers at a press conference in Tokyo
He is friends with another title holder, Bao Xishun, who was once the world's tallest man at 2.36m. Mr Xishun also lives in China's Inner Mongolia.
The current title holder for world's tallest man is Leonid Stadnyk, a 37-year-old former veterinarian from the Ukraine. At 2.57m, he is taller than Mr Xishun by 0.22cm.
The world's shortest man He Ping Ping took Tokyo by storm while visiting the city on Friday to launch the 2009 edition of the Guinness Book of World Records.
Mr Ping Ping, who was born with a form of dwarfism and is 74.1 cm tall and 7kg in weight, easily slipped into the shoe of the world's tallest man. He has been officially named by the book as the world's shortest man.
He lives in Inner Mongolia, China, and Tokyo is just one of many places around the world he has visited, including London and New York.
He Ping Ping holds a shoe of the world's tallest person at The Guinness World Records Museum in Tokyo on Friday
Mr Ping Ping said: 'I'm not particularly envious of someone who is tall. If you're tall it is hard to move and it's very inconvenient,' according to reports.
'I can weave my way through tight spots if I'm short. It's much better to be short,' he added.
Mr Ping Ping stands in front of a statue of the world's tallest person at the exhibition
Surrounded by photographers at a press conference in Tokyo
He is friends with another title holder, Bao Xishun, who was once the world's tallest man at 2.36m. Mr Xishun also lives in China's Inner Mongolia.
The current title holder for world's tallest man is Leonid Stadnyk, a 37-year-old former veterinarian from the Ukraine. At 2.57m, he is taller than Mr Xishun by 0.22cm.